FOR SPORTS NEWS AND ENTERTAINMENTS UPDATES VISIT THIS BLOG
.

Sunday, October 06, 2013

AJALI YAHUSISHA MAGARI MANNE KURASINI



Ajali imetokea  barabara ya Kilwa eneo la Ufundi Kurasini muda wa saa nne na nusu baada ya magari manne kugongana huku gari moja ya abiria (daladala) kuyumba na kuwagonjwa watoto watatu waliokuwa wamesimama wakisubiri kuvuka hakuna aliyepoteza maisha katika ajali hiyo  majeruhi walikimbizwa hospitali na wanaendelea vizuri.  (Picha na Betchezal Buha)

No comments: