FOR SPORTS NEWS AND ENTERTAINMENTS UPDATES VISIT THIS BLOG
.

Saturday, November 24, 2012


Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Yusuph Manji amesema wamefikia hatua hiyo baada ya uongozi na kamati ya utendaji kukaa na kujadili juu ya hatua hiyo ambayo kampuni ya BCEG itaanza kazi wiki ijayo na pindi itakapokamilisha michoro zoezi litakalofuata itakua awamu ya kwanza ya ujenzi wa uwanja huo wakati huo huo mwenyekiti wa Yanga Yusuph Manji amesema wanataka kufanya kweli na si hadithi kama za majirani zao wa upande wa pili hivyo basi tusubiri na tuone hiyo itakuwa ni hatua kubwa kwa klabu ya Yanga kila la kheri Dar Young African.

No comments: