FOR SPORTS NEWS AND ENTERTAINMENTS UPDATES VISIT THIS BLOG
.

Saturday, October 12, 2013

LIGI KUU KUENDELEA KUTIMUA VUMBI LEO

Ligi kuu Tanzania bara inaendelea tena leo katika viwanja tofauti wakati mabigwa watetezi Dar Young Africa wakiwa wageni wa Kagera Sugar .Wapinzani wao katika soka la bongo watakuwa Uwanja wa Taifa wakimenyana na Prison toka Mbeya  msimamo Simba wanaongoza wakiwa na pointi na pointi kumi na tano

No comments: